Habari Leo News

‘Treni ikifika Dodoma saa 1;30 asubuhi itasaidia kukuza uchumi’

DODOMA; NAIBU Spika Mussa Azzan ‘Zungu’, amesema kama Shirika la Reli nchini (TRC), litabadilisha ratiba za safari zake ya treni ya SGR kutoka Dar es Salaam ikafika Dodoma saa 1;30...

11 minutes ago


Habari Leo News

Viongozi Chadema waliohamia Chaumma wakana kununuliwa

VIONGOZI waliotoka Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na kuhamia Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) wamekanusha tuhuma za kununuliwa wakidai kwamba wanapigania haki na demokrasia nchini. Wakizungumza kwenye uzinduzi...

43 minutes ago


Taifa Leo News

Orengo sasa akunja mkia, aelekea Ikulu kuomba miradi ya maendeleo

GAVANA James Orengo ambaye alikuwa ametangaza kuwa hawezi kupiga magoti ili kupata miradi ya maendeleo anaonekana kubadilisha msimamo na Alhamisi Juni 5, 2025 anatarajiwa kuongoza ujumbe wa viongozi kutoka Siaya...

47 minutes ago


Taifa Leo News

Kiini cha masaibu ya Mbarire katika UDA

Kilichoanza miezi mitano iliyopita kama onyo kali kutoka kwa Naibu Rais Kithure Kindiki kwa Gavana wa Embu, Cecily Mbarire, sasa kimechacha, na kinatishia kuangusha taaluma yake ya kisiasa ya miongo...

1 hour ago


Habari Leo News

CCM yaja na mambo 11 kukuza uchumi wa buluu

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimesema katika miaka mitano ijayo kitaielekeza serikali ifanye mambo 11 ili uchumi wa buluu uchangie maendeleo ya uchumi nchini. Katika Ilani ya Uchaguzi ya CCM 2025-2030,...

2 hours ago


Habari Leo News

Mpango aonya kufuata mkumbo kampeni za vurugu

SERIKALI imetoa mwito kwa Watanzania wasiingie kwenye mkumbo wa kufanya kampeni za vurugu au kutukanana kwa kuwa si jadi ya Mtanzania. Makamu wa Rais, Dk Philip Mpango amesema hayo Arusha...

2 hours ago


Taifa Leo News

Askofu Gwajima akaa ngumu hata baada ya kanisa lake kufungwa na serikali ya Tanzania

KANISA la Glory of Christ Tanzania lilifutwa kutoka sajili ya makanisa nchini humo Jumatatu Askofu ila Josephat Gwajima ameshikilia kuwa ataendelea kuhubiri injili na kukosoa maovu ya utawala wa Rais...

3 hours ago


Taifa Leo News

Wakazi wadai Raila alitoa ardhi isiyo yake kwa mradi wa nyumba

HALI ya taharuki inazidi kutanda katika Kaunti ya Kisumu huku wakazi wa maeneo ya Korando na Kogony wakitishia kuzuia ujenzi wa nyumba unaogharimu Sh128 bilioni katika ardhi ambayo kiongozi wa...

4 hours ago


Habari Leo News

Tanzania, Ubelgiji kuimarisha madawati ya kijinsia vyuo vya ufundi

TANZANIA: SERIKALI ya Tanzania kwa ushirikiano na Serikali ya Ubelgiji zimeanza utekelezaji wa pamoja wa kuimarisha madawati ya jinsia kwenye vyuo vya ufundi mkoani Kigoma lengo likiwa kuhakikisha  vijana wenye...

17 hours ago


Habari Leo News

Waziri Mkuu aweka jiwe la msingi jengo la ‘Viwango House’

WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa leo Juni 4 ameweka jiwe la msingi la ujenzi wa jengo la Shirika la Viwango Tanzania (TBS) ‘Viwango Hause’ katika hafla iliyofanyika kwenye viwanja vya Ofisi...

17 hours ago


Load More...

Job Vacancies





Entertainment