Habari Leo Educational

Serikali yaimarisha ubunifu, utafiti elimu ya juu

SERIKALI kupitia Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia inaendelea kutekeleza mikakati endelevu ili kuwapa fursa viongozi wapya na wabobezi kuonesha uwezo na ubunifu katika taasisi za elimu ya juu. Akizungumza...

1 hour ago


Habari Leo Educational

Viti kusaidia huduma afya kinywa na meno

DAR ES SALAAM: HUDUMA ya afya ya kinywa na meno nchini imeendelea kuimarika katika maeneo mbalimbali baada ya Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS) kupokea mashine mbili...

16 hours ago


Habari Leo Educational

Mfumo kidigiti kudhibiti ubora wa shule

ARUSHA: SERIKALI imeanzisha mfumo wa kidigiti wa udhibiti ubora wa shule kwa viongozi wa elimu ili kuongeza ufanisi, uwazi, uwajibikaji na kuimarisha ukusanyaji, uchambuzi na utoaji wa mrejesho wa tathmini...

1 day ago


Habari Leo Educational

Wasaini mkabata kuongeza mbinu za ufaulu kwa wanafunzi

ARUSHA: TAASISI ya Elimu Tanzania (TET) kwa kushirikiana na Kampuni ya  Simu ‘Vodacom’  na Taasisi ya Twaweza wamesaini mkataba wa makubaliano kuwezesha walimu kutoa mbinu kwa wanafunzi kwa ajili ya...

1 day ago


Taifa Leo Educational

Mageuzi mapya TSC

TUME ya Kuajiri Walimu (TSC) imemteua Eveleen Mitei kama Kaimu Afisa Mkuu Mtendaji huku Dkt Nancy Macharia, ambaye anatazamiwa kustaafu Juni 30, 2025 akianza likizo yake. Dkt Macharia alitangaza kuwa...

1 day ago


Habari Leo Educational

Majaliwa mgeni rasmi Jukwaa la Vijana na Mazingira

WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa leo Juni 03 ni mgeni rasmi katika jukwaa la vijana na mazingira linalofanyika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam. Jukwaa hilo la vijana na mazingira lina...

1 day ago


Taifa Leo Educational

Serikali yatupa Nemis ya Uhuru, yazindua Kemis kusajili wanafunzi Gredi ya 9

WANAFUNZI wa Gredi ya Tisa watajiunga na shule za sekondari mwaka ujao kwa kutumia mfumo mpya wa kielektroniki wa kuwasajili wanafunzi maarufu kama KEMIS. Serikali imebuni mfumo huo wa kieletroniki...

1 day ago


Habari Leo Educational

Wakulima Moro watumia mbegu za soya kuzalisha maziwa

MOROGORO: WAKULIMA wa vijiji vinne vya Mkoa wa Morogoro wameanzisha miradi ya uchakataji maziwa yanayotokana na mbegu za soya kwa lengo la kuongeza wigo mpana unywaji maziwa kwenye jamii na...

2 days ago


Habari Leo Educational

Sekta ya usafirishaji yapaa, ofisi ya kanda ikizinduliwa Iringa

IRINGA: Sekta ya usafirishaji nchini imezidi kupata mwelekeo mpya baada ya Chama cha Wasafirishaji Tanzania (TAT) kuzindua rasmi ofisi yake ya Kanda ya Nyanda za Juu Kusini mjini Iringa, tukio...

2 days ago


Taifa Leo Educational

Serikali kuajiri walimu 40,000- katibu

Serikali imetangaza mpango wa kuajiri walimu 40,000 ifikapo mwisho wa mwaka 2026 ili kuimarisha uwiano kati ya walimu na wanafunzi katika shule za umma. Katibu wa Elimu ya Msingi, Julius...

3 days ago


Load More...

Job Vacancies





Entertainment