Zamalek washusha mzigo Yanga

Mwanaspoti
Published: Jun 10, 2025 15:08:47 EAT   |  Sports

NDANI ya wiki chache zijazo, mshambuliaji wa Yanga, Clement Mzize ataweka rekodi mbili kwenye soka la Tanzania endapo dili lake la kucheza nje litakwenda kama lilivyopangwa.