Yanga yaibuka tena “hatujapewa fedha za ubingwa kwa misimu mitatu”

Mwanaspoti
Published: Jun 10, 2025 14:15:36 EAT   |  Sports

Baada ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) kutoka hadharani na kuijibu Yanga kuhusu madeni inayowadai, klabu hiyo imeibuka tena.