TFF yajibu tuhuma, yaithibitisha kuidai Yanga

Mwanaspoti
Published: Jun 10, 2025 13:50:58 EAT   |  Sports

Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limepinga madai kuwa linadaiwa na Yanga, fedha za zawadi ya ubingwa ya mashindano ya Kombe la Shieikisho la CRDB msimu uliopita na badala yake limesema kuwa lenyewe ndio linaloidai klabu hiyo.