Sowah, Mukwala waingizwa vitani Sauzi

KITENDO cha Kaizer Chiefs ya Afrika Kusini kujiandaa kuachana na straika Ranga Chivaviro, kumeibua vita mpya kwa nyota wanaokiwasha katika Ligi Kuu Bara, Jonathan Sowah wa Singida Black Stars na Steven Mukwala wa Simba wanaohusishwa kuwindwa na AmaKhosi.