Sasii afungiwa miezi sita, Fadlu, Sowah nao yawakuta

Mwanaspoti
Published: Jun 04, 2025 18:38:47 EAT   |  Sports

Mwamuzi Herry Sasii amekumbana na adhabu Kali, baada ya kufungiwa miezi sita kwa makosa ya kushindwa kutafsiri Sheria kwenye mchezo kati ya Simba na Singida Black Stars.