Sakata la Dabi, Ally Kamwe aibua mambo mapya

Mwanaspoti
Published: Jun 09, 2025 14:21:11 EAT   |  Sports

RAIS wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Wallace Karia amesema msimu wa 2025/26 hakuna mchezaji ambaye atasajiliwa kucheza Ligi Kuu Bara au Ligi ya Championship bila kufanyiwa uchunguzi wa afya ya moyo.