Ouma aanza tambo mapema fainali FA

BAADA ya kuifanikisha Singida Black Stars kutinga fainali ya Kombe la FA kocha wa timu hiyo Mkenya, David Ouma ameweka wazi kuwa anafurahia mafaniko ya soka ambayo anaendelea kupata nchini.
BAADA ya kuifanikisha Singida Black Stars kutinga fainali ya Kombe la FA kocha wa timu hiyo Mkenya, David Ouma ameweka wazi kuwa anafurahia mafaniko ya soka ambayo anaendelea kupata nchini.