Ouma aanza tambo mapema fainali FA

Mwanaspoti
Published: Jun 04, 2025 14:00:27 EAT   |  Sports

BAADA ya kuifanikisha Singida Black Stars kutinga fainali ya Kombe la FA kocha wa timu hiyo Mkenya, David Ouma ameweka wazi kuwa anafurahia mafaniko ya soka ambayo anaendelea kupata nchini.