Kumekuchaa! Kisa Dabi viongozi Yanga waitwa TPLB

Mwanaspoti
Published: Jun 08, 2025 04:33:44 EAT   |  Sports

WAKATI sintofahamu ikiendelea kutanda juu ya hatma ya mchezo wa Dabi ya Kariakoo, viongozi wa juu wa Yanga wameitwa makao makuu ya Bodi ya Ligi Kuu Tanzania Bara (TPLB).