Kocha wa Yanga afunguka kuhusu Dabi

WAKATI joto la pambano la Dabi ya Kariakoo likiendelea kupanda kwa mashabiki wa soka nchini, Kocha wa Yanga, Miloud Hamdi amevunja ukimya na kuweka bayana kwamba kwa sasa anaendelea kuwaandaa wachezaji kwa mechi tatu zilizosalia kufunga msimu kwa timu hiyo, lakini dabi haipo.