Kipigo chaishtua Srelio, yafuata mastaa DR Congo

BAADA ya Srelio kufungwa na Pazi kwa pointi 81-73 katika mchezo wa Ligi ya Kikapu Dar es Salaam (BDL), kocha wa timu hiyo, Miyasi Nyamoko amesema wameamua kuwaita nyota wawili kutoka DR Congo ili waje kuokoa jahazi.