Karia: Mchezaji bila kupimwa moyo hakuna kucheza Ligi

Mwanaspoti
Published: Jun 09, 2025 13:47:40 EAT   |  Sports

RAIS wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Wallace Karia amesema msimu wa 2025/26 hakuna mchezaji ambaye atasajiliwa bila ya kufanyiwa uchunguzi wa afya ya moyo kwa wachezaji wote wa Ligi Kuu na Ligi ya Championship.