JKT Queens yaanza na kocha

Mwanaspoti
Published: Jun 06, 2025 14:15:04 EAT   |  Sports

WAKATI JKT Queens ikijiandaa na mashindano ya Cecafa ili kufuzu Ligi ya Mabingwa Afrika imeanza marekebisho ya benchi la ufundi ikidaiwa kumalizana na kocha mkuu Ester Chabruma ‘Lunyamila’.