Taifa Leo News

Mauaji yatishia ndoa ya ODM na UDA

KUENDELEA kwa utekaji nyara, kutoweshwa kwa nguvu na mauaji ya kiholela kunatishia makubaliano ya kisiasa kati ya Rais William Ruto na Waziri Mkuu wa zamani Raila Odinga. Viongozi kutoka upinzani...

52 minutes ago


Habari Leo General

DC Lindi: Jitihada hazijawahi kumtupa mtu”

LINDI: Mkuu wa Wilaya ya Lindi, Victoria Mwanziva, amewaahauri vijana wanaotoka wilaya hiyo kuongeza juhudi  kwa kila walifanyalo ili kutimiza ndoto zao. DC Mwanziva ametoa nasaha hiyo leo, Juni 10,...

7 hours ago


Habari Leo General

Wanawake Pwani wahamasishwa kushiriki uchaguzi

PWANI: Mwenyekiti wa Jumuiya ya Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT)wa Chama Cha Mapinduzi Tanzania (CCM), Mary Chatanda Amewasihi wananchi hususani Wanawake kujitokeza kwa wingi kwenye zoezi la upigaji kura kwenye...

11 hours ago


Habari Leo News

Makalla: Utekelezaji Ilani ya CCM, turufu uchaguzi mkuu

KILIMANJARO: KATIBU wa Halmashauri Kuu (NEC), Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Amos Makalla amesema utekelezaji wa Ilani na maendeleo yaliyofanywa na Serikali ya CCM chini ya...

11 hours ago


Habari Leo Sports

Geita wapigia mstari tamko la wazee Yanga

GEITA: UMOJA wa Matawi ya wanachama wa klabu ya Yanga mkoani Geita wamesema wanaunga mkono tamko la Baraza la Wazee wa klabu hiyo walioagiza viongozi wasithubutu kupeleka timu Juni 15,...

12 hours ago


Mwanaspoti Sports

Zamalek washusha mzigo Yanga

NDANI ya wiki chache zijazo, mshambuliaji wa Yanga, Clement Mzize ataweka rekodi mbili kwenye soka la Tanzania endapo dili lake la kucheza nje litakwenda kama lilivyopangwa.

12 hours ago


Taifa Leo Jobs and Career

UNOC3: Guterres asihi mataifa kuokoa bahari ili ajira zisipotee

KATIBU Mkuu wa Umoja wa Mataifa Bw António Guterres ametoa mwito kwa mataifa kujitahidi kukabiliana na masuala yanayoathiri afya ya baharini, ikiwa ni pamoja na mabadiliko ya tabianchi, uchafuzi wa...

13 hours ago


Mwanaspoti Sports

Yanga yaibuka tena, yaijibu TFF kuhusu madeni

Baada ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) kutoka hadharani na kuijibu Yanga kuhusu madeni inayowadai, klabu hiyo imeibuka tena.

13 hours ago


Mwanaspoti Sports

Yanga yaibuka tena “hatujapewa fedha za ubingwa kwa misimu mitatu”

Baada ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) kutoka hadharani na kuijibu Yanga kuhusu madeni inayowadai, klabu hiyo imeibuka tena.

13 hours ago


Mwanaspoti Sports

TFF yajibu tuhuma, yaithibitisha kuidai Yanga

Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limepinga madai kuwa linadaiwa na Yanga, fedha za zawadi ya ubingwa ya mashindano ya Kombe la Shieikisho la CRDB msimu uliopita na badala...

13 hours ago


Load More...

Job Vacancies





Entertainment